15 December 2014

Christmass Party @ Code:milabe

Karibuni wote @ Code:milabe on Saturday 20th Dec. 2014. from 4pm

There will be a small party to thank God for the year and wish each other the best in the coming New Year.
Come and enjoy our massive SALE and also enjoy drinks, snacks, and recite of poems from Tanzanian youth.

Much Love!













“If you want your children to be intelligent, read them fairy tales. If you want them to be more intelligent, read them more fairy tales.” ― Albert Einstein

Ooooh how i have missed my blog,

Lakini nilikuwa busy kufanya uhamasishaji wa usomaji wa vitabu kwa watoto kwenye jamii zetu.
Kupenda kusoma ndio silaha kubwa ya maendeleo ya Taifa letu Tanznia. Kupenda kusoma ndio mwanzo wa kuondoa ujinga na umasikini katika jamii yetu. Ukipenda kusoma na kuchambua vitabu na maandiko kamwe hautadanganyika. Na utajua unako kwenda na nini la kufanya.




'Soma Kwanza Harakati Michungwani' Children club. My project under Soma Agency