28 November 2013

UTEKAJI WATOTO, UCHUNGUZI MKALI WAENDELEA

Siku moja baada ya gazeti hili kuripoti habari  za watoto wanadaiwa kutekwa na kufichwa katika handaki lililopo kwenye msitu wa Mabwepande, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, ambalo ndani yake kuna jengo kubwa lenye vyumba, Jeshi la Polisi limeanza uchunguzi mkali, ana ripoti Masau Bwire.

Chanzo chetu cha habari kimedokeza kuwa, uchunguzi huo unafanywa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi mkoani Pwani.

"Polisi wapo katika uchunguzi mkali tangu leo (jana), asubuhi, si vyema kuzitoa taarifa mapema kabla uchunguzi haujakamilika, tunaweza kuharibu upelelezi na wahusika kukimbia.

"Watoto waliokuwa wamepelekwa hospitali kuchunguzwa afya zao baada ya kuhojiwa na kutoa picha kamili ya eneo lenye handaki, hivyo uchunguzi ukikamilika mtaambiwa," kilisema chanzo hicho kwa sharti la kutotajwa jina lake.

Utekaji watoto wanaodaiwa kuwa zaidi ya 60 katika handaki hilo, unadaiwa kufanywa na raia wa kigeni (Wazungu), wakishirikiana na Watanzania ambapo watoto hao hufungiwa katika vyumba hivyo, kuteswa, kulawitiwa na kubakwa.

Watoto waliodai kutoroka kwenye handaki hilo ni Emmanuel Robert (11) anayesoma darasa la tano Shule ya Msingi Maendeleo iliyopo Tabata, Segerea, Dar es Salaam na mdogo wake Godianus Robert (8), anayesoma darasa la tatu shuleni hapo.

Watoto hao walidai kutekwa na Wazungu wawili asubuhi ya Septemba 2 mwaka huu, wakati wakienda shuleni na kufanikiwa kutoroka katika jengo hilo Septemba 23 mwaka huu.

Wakiwa wamechoka na afya zao kuzorota katika Kituo kidogo cha Polisi, Kibaha Maili Moja, mkoani Pwani, watoto hao walisema ndani ya jengo hilo kuna watoto wengi wa kike na kiume.

Walisema watoto hao wanafanyishwa kazi na kuteswa kwa kutandikwa fimbo, kuchomwa moto na kupigwa shoti ya umeme hasa wanapowaulizia wazazi wao ambapo baadhi yao hubakwa na kulawitiwa.

Akizungumza na Majira, Emmanuel alisema baada ya kutekwa yeye na mdogo wake, walifungwa na vitambaa vyeusi usoni hadi walipofikishwa ndani ya jumba hilo la mateso.

Aliiomba Serikali kufanya jitihada za hali na mali ili kuwaokoa watoto wengine waliopo katika jengo hilo.

Mama mzazi wa watoto hao, Martha Godianus (29), ambaye anafanya shughuli za mama lishe, njia panda ya Barakuda, Tabata Manispaa ya Ilala, alisema amehangaika zaidi ya miezi mitatu kuwatafuta watoto hao bila mafanikio. 

Juzi Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alikiri kupata taarifa za tukio hilo na kuanza kuzifanyia kazi.



Source: Majira

Maskini, jamani watoto, duuuuh! na kila leo watoto wanapotea kumbe wako sehemu wanateswa hivi?


Man Leaves His Two Cats $250k Inheritance And Home While His Family Gets NOTHING

two_cats



Leon Sheppard Sr. left behind a 4,270-square-foot house and $250,000 for his two 

cats, Frisco and Jake. His will outlines that the money is to care for his cats and the 

maintenance of the home.


“If their owner sees fit, they can create a trust for the welfare and benefit of the 

cats and their care,” attorney Randy Fishman said to WSMV.


Fishman, who has practiced law for almost 35 years, explains that this is a rare 

case.


“I don’t know [if] I’ve ever come across one,” Fishman said.


According to WSMV, Sheppard’s daughter said the family did not want to talk about 

it, but neighbors of the man said he loved his cats.


The family could see some money from the estate eventually. When Frisco dies, 

whatever is left of the estate including the home can be passed to Sheppard’s 

human heirs, but Jake must be cared for still, according to the will. However, the 

heirs will be allowed to move Jake out of the home.


The attorney told the tv-station that the will is legal.

Sheppard was president of United Food and Commercial Workers Local 1529 

before he retired, WSMV reported.


He died at the age of 79.








Jamani wenzetu wana vijimambo!!!! mmmmmh!


Nick Cannon and Mariah Carey at splitville?

nick and mariah

Mariah Carey and Nick Cannon seem like one of Hollywood’s couples who are 

lovely-dovey all the time, but a tabloid claims they are “falling apart.”



Star alleges, “Amid rumors of her cheating and him checking out of the 

relationship, Mariah Carey and Nick Cannon’s five-year union is in jeopardy.”



Their source says, “Mariah and Nick’s marriage is hanging by a thread. Neither of 

them shows much interest in working through their problems.”



The tabloid adds that Mariah and Nick barely see each other and basically live in 

different cities. So why don’t they split up?

The supermarket rag claims they are only staying together for their two children 

and Mariah don’t want to dump Nick because he’ll get a “huge chunk of her 

fortune.”


We at RumorFix didn’t believe this trash for a second. Nick makes lots of money on 

his own, so we don’t think he’d stay in a bad marriage for dough. And, just for good 

measure, we contacted Mariah’s rep who tells us, “Completely false and made up 

rumor.”







Source: Rumorfix report




Actualy wao kukaa for five years wamejitaidije? Wao kuachana ni kawaida tuu! Mariah 

looking great in her red dress!



Beyonce Banned From Pyramids For Being “Stupid And Rude” To Egypt’s Indiana Jones!

tumblr_lkhgmsKNVw1qj7ah5o1_r1_400




No-one keeps Zahi Hawass, the controversial archaeologist described as Egypt’s 

Indiana Jones, waiting. Not even Beyoncé.


Dr Hawass, Egypt’s former head of antiquities and gatekeeper of the Pyramids, 

banished Beyoncé from the ancient site after he was sickened by what he described as
the star’s rudeness.


“Most people I take on tours are very nice and we become friends. But this lady…,” 

begins Hawass, the former Minister of State for Antiquities, who lost his post during 

the 2011 protests and is at the centre of corruption allegations over his work for 

National Geographic.



“She said she would come at 3pm but she came late. I said ‘You have to say I’m sorry I

’m late’. But she didn’t open her mouth,” continued Dr Hawass, credited with 

modernizing the management of Egypt’s ancient sites and who claims to have 

repatriated 6,000 artefacts “stolen” by Western powers.



“I brought a photographer and she also had a photographer and a guard. When my 

photographer started to shoot, she said ‘No, Stop! I am the one who says yes or no, not 

you.’ 


I said ‘In that case since you almost hit my photographer and you are not polite – 

out! I am not giving you the privilege of having you on my tour.’ 

I said Beyoncé was stupid and I left.” 






Source: According to an interview with UK Independent

22 November 2013

CHADEMA WAMVUA NYAZIFA ZOTE BWANA KABWE!!!




MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI, NAIBU KATIBU MKUU WA CHADEMA, NAIBU KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI, MWENYEKITI WA KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA SERIKALI. - BWANA ZITTO ZUBERI KABWE








SOURCE: BREAKING NEWS ITV MEDIA





SIASA SIASA SIASA, mmmmh.......

21 November 2013

USAIN BOLT TO CHASE RIHANNA'S HEART

 photo usainsboltsddd.png

The fastest man in the world just entered the race to win Rihanna's heart.  
Olympic gold medalist Usain Bolt, who's widely regarded as the fastest man in the world, was clearly mesmorized by "Pour It Up" singer Rihanna, who posted a viral twerk video a few days ago.  Usain, who hails from Jamaica, told Twitter that Riri has the moves that remind him of home and he's ready to jump some damn hurdles and run the 100m to her heart.

SEXY RIHANNA!!!!!

Besides Twitterverse, Usain is continuing his campaign and told TMZ yesterday that he was in love with Rihanna.  And he's being oh so real about it.

MRS. OBAMA IN 106 PARK

 photo bowflo3.jpg

First Lady Michelle Obama stopped by "106 & Park" to promote education and President Obama's "North Star Goal".  

 photo bowflo1.jpg


she was there to tout President Obama's "North Star" goal to place America back at number one as the country with the highest proportion of college graduates in the world by 2020. Mrs. Obama engaged in a discussion with the audience alongside Jeff Johnson and hosts Bow Wow and Keshia Chante.

 photo bowflo2.jpg

The First Lady ended by sharing with the audience that you never stopping learning, growing or questioning yourself. "I'm still discovering what I want to be. I'm still thinking about what I want to do when I leave the White House." 
But she is looking forward to one thing after this Presidential term is over.  She revealed, "Anonymity. Being able to walk out your front door without agents and … go to CVS to buy some toothpaste."  


OPRAH RECEIVES THE PRESIDENTIAL MEDAL OF FREEDOM

 photo medo2.jpg

Oprah Winfrey received the Presidential Medal of Freedom.  

 photo medo1.jpg


Earlier Yesterday, President Barack Obama presented Oprah Winfrey with the Presidential Medal Of Freedom.  
The award, which is given to "people who have made meritorious contributions to the security or national interests of the United States, to world peace or to cultural or other significant public or private endeavors" was also bestowed on PresidentBill Clinton, former Sen. Richard Lugar, R-Ind., former Washington Post executive editor Ben Bradlee, country singerLoretta Lynn and feminist Gloria Steinem.
Oprah's bestie Gayle King tweeted, "@oprah and President Obama so thrilled happy and proud of her! What a great great day in washington!"
She looks fab!

19 November 2013

REST IN PEACE ALFA ALFRED





ALFA ALFRED, YOU ONCE GAVE ME AND MY HUSBAND A WARM WEL COME AT YOUR HOME. WAS SHOCKED KUSIKIA ABOUT YOUR PASSING LEO ASUBUHI KWENYE VYOMBO VYA HABARI. 

JAMANI WATANZANIA TUNAELEKEA WAPI NA HIZI SILAHA ZINAZOUZWA KWA KILA MTU MPAKA WATU WASIOKUWA NA UWEZO WA KUJUA WAPI PA KUTUMIA NA KUTOKUTUMIA?

JAMANI ALFA, MUNGU AKUPUMZISHE KWA AMANI, AND MUNGU AMPE JOSEPH NGUVU ZA KUPITIA MAPITO HAYA, PAMOJA NA WANAO.


YOU HAD SUCH A BEAUTIFUL SMILE GIRL, REST IN PEACE DEAR!

18 November 2013

KASHFA YA KUMBAKA BINTI - MBUNGE WA URAMBO MAGHARIBI, Prof. JUMA KAPUYA

Juma Kapuya

KASHFA ya kumbaka na kutishia kumuua msichana wa miaka 16 inayomkabili Mbunge wa Urambo Magharibi, Profesa Juma Kapuya (CCM), imezidi kuchukua sura mpya baada ya serikali kutoa kauli nzito ya kutaka kumfungulia mashitaka mbunge huyo, Tanzania Daima Jumapili limebaini.
Mashitaka yanayotajwa kumkabili mbunge huyo ambaye amepata kuwa waziri katika awamu tofauti za uongozi, ni pamoja na ubakaji na kutishia kuua.
Kamishna  wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliliambia gazeti hili jana kuwa jeshi hilo halitakuwa na sababu ya kumuacha mbunge huyo kuendelea kutamba mitaani huku akituma ujumbe wa vitisho kwa binti wa miaka 16  anayedaiwa kumbaka.
Alisema watachukua hatua za haraka  kama mtoto huyo atakwenda kufungua jalada la kutishiwa maisha katika kituo chochote cha polisi jijini Dar es Salaam wakati wowote.
Kamishna Kova alisema hadi jana jeshi lake lilikuwa halijapata malalamiko yoyote kutoka kwa binti anayedai kubakwa na kutishiwa maisha na Profesa Kapuya, kupitia ujumbe mfupi wa simu ya mkononi iliyosajiliwa kwa jina la Profesa Kapuya na kuongeza kuwa muda wowote taarifa hizo zitakapofikishwa polisi wataanza kuzifanyia kazi.
“Sisi Polisi hatuna shamba hapa mjini zaidi ya kukabiliana na uhalifu… na huyo binti mwambie aje afungue malalamiko yake, tena amuone RPC yeyote katika mikoa ya kipolisi ya Dar es Salaam na si hili la kutishiwa tu, hata hilo analosema la kubakwa na sisi tutamuwajibisha aliyefanya hivyo katika makosa mawili tofauti,” alisema Kamishna Kova.
Wakati Kamanda Kova akisema hawatakuwa na ajizi na tuhuma za kubaka na kutishia kuua zinazomkabili Profesa Kapuya, habari kutoka Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete zinaeleza kuwa kiongozi huyo wa nchi amekerwa na kauli ya Mbunge huyo wa Urambo Magharibi kuwa serikali haiwezi kumfanya jambo lolote.
Ni kutokana na kauli hiyo mtoa taarifa wetu alisema rais aliagiza vyombo vya dola kufuatilia kwa karibu sakata hilo na kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake.Juzi gazeti hili lilinukuu moja ya ujumbe mfupi wa maneno kutoka katika simu ya Profesa Kapuya kwenda kwa binti anayedai kubakwa na Kapuya, sehemu ya ujumbe huo unasomeka kuwa: “Mkiuawa itakuwa vizuri….itawapunguzia gharama za kuishi, usitake kugombana na serikali mtoto mdogo kama wewe, sisi ndiyo wenye nchi yetu, mwenye hilo gazeti ni Mbowe, sasa mwambieni nyumba ya kuishi si mmemuingizia hela leo? Mnatumika tu bure watu wanaingiza hela nyingi, ila mmenitibua lazima niwaue wiki hii haitaisha nitapiga kambi kote, jana si wamekuficha, tuone utalindwa milele, maana washatengeneza hela lazima mvae sanda tu, hilo sio ombi ni wajibu wenu, mnajitia na nyie mafia watoto siyo, watoto wetu wanauza unga nani anawakamata? Nani atapingana  nasi.”
Pia kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), taarifa zinaeleza kuwa chama hicho kimeamua kumtosa mbunge huyo aliyewahi kuongoza Wizara ya Elimu na Ulinzi kwa nyakati tofauti baada ya kumtaka aache kukihusisha chama na kashfa yake ya kubaka.
Mmoja wa viongozi wa CCM  aliyezungumza na gazeti hili kwa sharti la kutotaja jina lake kwa vile siye msemaji wa chama, alidokeza kuwa chama hicho kilijaribu kulimaliza suala hilo kimya kimya, lakini lilikwamishwa na Profesa Kapuya mwenyewe kwa kutofika kwenye vikao vya usuluhishi na binti huyo.
Pia imebainika kuwa baadhi ya wabunge waliokuwa wanataka kumsitiri Profesa Kapuya aliishia kuwaona kama wabaya wake.
“Hapa palipofika ahangaike peke yake, watu walijitahidi kadiri walivyoweza hili suala limalizike lakini mwenzetu alikuwa mzito kushirikiana nasi, sasa hakuna anayetaka chama kichafuke zaidi, amesubiriwa Dodoma na watoto wiki mbili  hatokei, hadi watoto wakashauriwa kwenda kuwaona viongozi wakuu Dar es Salaam,” alisema kiongozi huyo.
Juzi gazeti hili lilichapisha habari kuhusu mwanafunzi huyo aliyesema kuwa waziri huyo alimbaka kwenye hoteli moja ya kitalii iliyoko jijini Dar es Salaam mwaka 2011, na kurudia tena kitendo ndani ya ofisi yake katika Jengo la Biashara Complex lililoko Mwananyamala Juni 3, 2012 alipoitwa kwenda kuchukua ada kwa mara ya pili.
Kutokana na habari hiyo Profesa Kapuya kupitia kwa wakili wake, Yasin Memba, alitishia kuliburuza gazeti hili mahakamani endapo halitamwomba msamaha ndani ya siku saba.
Mbali na kutishia kulipeleka gazeti hili na baadhi ya mitandao ya kijamii mahakamani pia Profesa Kapuya alikana kumfahamu binti anayedai alibakwa huku akikanusha  kumiliki simu namba 0784993930 ambayo imekuwa ikitumiwa kuwasiliana naye ikiwemo kumtumia ujumbe mfupi wa maneno (sms) wa vitisho.


Source: Tanzania Daima

PICHA ZA KUDHALILISHA WATOTO KUDHIBITIWA

Kampuni za Google na Microsoft zinazoongoza duniani kwa mitandao yao kutumika kutafuta taarifa mbalimbali zimekubaliana kuchukua hatua za kuhakikisha inakuwa vigumu kupata picha zinazowadhalilisha watoto katika mitandao.

Maombi kufikia 100,000 yakitafuta picha hizo, hayatapata matokeo yoyote ya utafutaji picha za kudhalilisha watoto na taarifa nyingine zilizo kinyume cha sheria.

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron, ambaye alitoa wito kwa kampuni hizo kuchukua hatua za kuwanusuru watoto kutokana na udhalilishaji huu, amepongeza hatua hiyo.
Lakini ameonya kuwa lazima hatua hiyo itoe matokeo mazuri, vinginevyo ataleta sheria mpya ya kuyabana makampuni hayo ya mawasiliano.

Mwezi Julai, 2013, Bwana Cameron alizitaka kampuni za Google na Microsoft ambazo kwa pamoja zinachangia asilimia 95% ya utafutaji wa taarifa mbalimbali kwa njia ya mtandao, kuchukua hatua zaidi ili kuzuia watu kupata picha mbaya.

Alisema kwamba wlitakiwa kuhakikisha kuwa maombi yanayotumwa kutafuta taarifa ambazo zinalenga kupata picha chafu, yasitoe majibu yoyote.

Kwa sasa kampuni zote mbili zimeanzisha "programu mpya ya kompyuta" ambayo itazuia utafutaji wa picha zinazowadhalilisha watoto.

Akiandika katika gazeti la Uingereza la Daily Mail, mwenyekiti mtendaji wa Google Eric Schmidt amesema: "Mabadiliko haya yameondoa maombi zaidi ya 100,000 ambayo huenda yalihusishwa na udhalilishaji wa watoto.
"Likiwa jambo muhimu, hivi karibuni tutaweka mabadiliko haya katika zaidi ya lugha 150, hivyo matokeo ya hatua hii kuwa ya dunia nzima."

Ameendelea kueleza kazi ya kuzuia picha za udhalilishaji watoto, kwa kusema:"Sasa tunaonyesha - kutoka mtandao wa Google na mengine, juu ya chumba cha kutolea maombi ya kutafuta taarifa mbalimbali kwa maombi zaidi ya 13,000.
"Maonyo haya yanaonyesha wazi kwamba udhalilishaji wa watoto ni kinyume cha sheria na kutoa ushauri wa mahali pa msaada."



Source: BBC SWAHILI

17 November 2013

MKE AFANYA MAUAJI TATA


  • ASHIRIKIANA NA MWANAYE KUMUUA MUMEWE
  • KISA WIVU WA MAPENZI,POLISI WAZUNGUMZA

 
 Na Esther Macha, Mbeya
 
 Mama na mtoto, wote wakazi wa Kijiji cha Iseche, Kata ya Mwambani, Tarafa ya Kwimba, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, wanatafutwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumuua Silvester Chikondo (55).

Akizungumza na gazeti hili jana, Kamanda wa Polisi mkoani humo, Diwani Athuman, alisema marehemu alishambuliwa kwa marungu na mama huyo ambaye ni mkewe na mtoto wake.

Alisema tukio hilo limetokea Novemba 12 mwaka huu, saa mbili usiku katika Kijiji cha Iseche, wilayani humo.Aliongeza kuwa, marehemu alikutwa na mauti wakati akitoka kilabuni kwenye pombe za kienyeji ndipo mama huyo akiwa na mwanaye wa kiume, walianza kumshambulia.
  
Hata hivyo, Kamanda Athumani alisema marehemu alipigwa marungu kichwani na kuongeza  kuwa, mama huyo anaitwa Husulina Kornel (42) na mwanaye Kondo Chikondo (19).
 
 Akizungumzia mazingira ya tukio hilo, alisema marehemu alishambuliwa baada ya kufika nje ya nyumba yake ambapo chanzo cha ugomvi huo ni wivu wa kimapenzi.
  "Marehemu alionekana akizungumza na mwanamke kilabuni ndipo mke wake alipoingiwa na wivu, ugomvi huo ulianzia kilabuni, mke na mwanaye wamekimbia," alisema.
  
Alisema mwili wa marehemu ulifanyiwa uchunguzi na kubainika ubongo kuchanganyika na damu hivyo kusababisha kifo chake.
Hata hivyo, Kamanda Athumani ametoa wito kwa jamii hasa wanandoa, kutatua matatizo yao kwa njia ya mazungumzo si kujichukulia sheria mkononi kinyume cha sheria.
  
Alitoa wito kwa watu wenye taarifa za watuhumiwa, wazitoe ili waweze kukamatwa na kufikishwa mahakamani. Pia amewataka watuhumiwa hao, wajisalimishe wenyewe.




Source: MAJIRA

15 November 2013

TO ALL PARENTS OUT THERE!!!!

Premature baby in an incubator

Mothers carrying babies skin-to-skin could significantly cut global death and disability rates from premature birth, a leading expert has said.



Prof Joy Lawn says "kangaroo care", not expensive intensive care, is the key.
The 15 million babies every year born at or before 37 weeks gestation account for about 10% of the global burden of disease, and one million of them die.
Of those who survive, just under 3% have moderate or severe impairments and 4.4% have mild impairments.
Prof Lawn, from the London School of Hygiene and Tropical Medicine (LSHTM), said: "The perception is you need intensive care for pre-term babies,
"But 85% of babies born premature are six weeks early or less. They need help feeding, with temperature control and they are more prone to infection.
"It's really only before 32 weeks that their lungs are immature and they need help breathing, She added: "Unless there are those breathing problems, kangaroo care is actually better because it promotes breastfeeding and reduces infection."
Speaking ahead of World Prematurity Day on Friday, UN Secretary General Ban Ki-moon, who leads the Every Woman Every Child movement, which promotes improvements to healthcare for women and children, said: "Three-quarters of the one million babies who die each year from complications associated with prematurity could have been saved with cost-effective interventions, even without intensive care facilities."


Source: BBC NEWS



LADIES, IS IT RUDE TO RESTYLE YOUR PARTNER?

Liz Hurley and Shane Warne

What Liz Hurley did to Shane Warne made him look like 'a complete tit'. Photograph: Richard Young/Rex




"One thing I've noticed in life is that a remarkable number of men, sometimes intelligent, accomplished men, can be extraordinarily thick about spotting women who manipulate them.

One area where this keeps happening is appearance, with some men being coerced into making bizarre decisions all in the name of "self-improvement". 
Shane Warne is a case in point. A cricketing uber-bloke, Shane was spirited away into the dark castle of Liz Hurley, to emerge resembling a Ken doll dipped in golden syrup. La Hurley beamed, while the world recoiled at Warne's newly brightened teeth, highlighted hair, Ronseal-hued skin tone, and hints of (thankfully undisclosed) "man-scaping".

Away from celebrityland, it seems that ordinary women also like to "make over" their men, preferring to upgrade their appearance, groom them, and transform them into Mr Right, rather than compete in the psychosexual scrum for men who are already deemed Mr Right. Occasionally there are studies about these dogged female-on-male makeovers.

Men also do this to women – explaining the phenomenon of relationships put under immense strain when one of the couple loses weight, or makes some other bid to climb out of the saboteur's hole.

Unless there are health or hygiene issues, surely no one should feel they have any right whatsoever to comment upon, criticise, mock or alter another person's appearance. It is at best rude, at worst, an exercise in control freakery. Ladies, truly we are better than this. Gentleman, brace yourself for the revelation that, whatever you've been told, neither "Ken doll" nor "weirdy beardy" are particularly good looks."




Source: The Guardian


Hii inawapa shida sana wanawake wakiafrika zaidi, haswaa wakisha kuwa na watoto na miili kubadilika, mara nyingi hurushiwa maneno ya kuwashushia self confidence. Sad zaidi ni comments kuhusu maumbile ya mtu, kwani ni nani alishawahi kuwa na uwezo wa kumuumba binadamu mwenzake?


THE ROBIN THICKE SONG LABELED - MOST CONTROVERSIAL OF THE DECADE

Robin Thicke and Miley Cyrus



This week, University College London student union (UCLU) took the unusual step of banning a single song, Robin Thicke's Blurred Lines. It joins around 20 other UK student unions to do so. This is the latest development in the story of how the biggest song of the year became the most controversial of the decade: an unprecedented achievement, though not one that fills Thicke with pride.


It seemS Impossible that anyone with the faintest interest in popular culture could have missed either the song or the controversy, but here is a recap. At the end of March, mid-table R&B singer Thicke, along with producer Pharrell Williams and rapper TI, released Blurred Lines, a libidinous R&B party jam about a woman in a nightclub who may or not be interested in him. In April, one blogger branded it a "rape song", and two months later Tricia Romano of the Daily Beast described it as "rapey", a word that caught fire in other media outlets. The song might have escaped censure if the video, in which the three male performers goof around with scantily clad (and, in one version, topless) models, had not generated its own separate yet overlapping controversy.



Source: The Guardian

LADY GAGA NA HER STYLES, INTERESTING...

Lady Gaga out and about, Berlin, Germany


SIJUI HATA HIKI NI NINI HASWAAA!



05 November 2013

HEIDI KLUM'S HALLOWEEN DRESS UP! Mmmmmh!

Heidi Klum

'Lines, wrinkles, veins, scars are all badges of survival – signs of a life lived. How dare Heidi Klum make light of that.' Photograph: Raymond Hall/FilmMagic





(Heidi Klum is one of the supermodels in the world, an ex- wife of musician of all times - Seal)



Kuna mama ameandika the following post kwenye The guardian:


"I cannot for the life of me think what was running through Heidi Klum's head when she came up with the idea that dressing as an old womanwas an amusing concept for Halloween. 

Heidi is well-known for going the full nine yards on All Hallows' Eve. She's been Clive Barker's Hellraiser(or Gunther von Hagens' flayed body, depending on your cultural references), the Hindu goddess Kali (managing to offend an entire religion) and now she's given us what currently terrifies the western world beyond all reason – age.


Yes, there are cultural differences at play here – dressing up for Halloween in the US does not necessarily mean witches, vampires and Frankenstein – but it's hard to see this stunt as anything other than ill-judged and offensive. There is a fine line here and Klum has crossed it."





Source: The Guardian, 1st Nov. 13






Wenzetu wanaogopa sana sana uzee, sio kwamba i support Heidi kwa kuvaa this costume kama Mzee kwa ajili ya Halloween, ila kwangu mimi uzee ni baraka. Sio wote wanaufikia.